🔺NOTIFICATION

Greetings! 👋

I hope this Blogmail finds you well😅.
I'm doing great and feeling much loved💓
Sending my heartfelt gratitude to everyone who filled me with unconditional encouragement and support over the news of starting this Blog.
It really warmed my heart! 🙏

Leo ninayofuraha kuweka hapa baadhi ya makala fupi-fupi ambazo niliwahi kuzishare siku za nyuma kupitia Whatsapp Status.
Nimeona ni busara iwapo sehemu ya makala hizo zikapata hifadhi katika Blog hii.

Kama hukuwahi kukutana nazo,ninafarijika kuona kuna namna zinaweza kukufikia.
Kama uliwahi kuzisoma na ukazipenda,si dhambi ukirudia kuzifurahia😀.

🎬Kutoka mbali kwenye Sayari ya WAKUJA,hadi Uwanjani WEMBLEY kwenye show ya Ed Sheeran,unaibuka MPOTEANO unaotufanya tujiulize tUNAJUA NINI?
Hapo tunapata nafasi ya kuJISAMEHE,kuKUNJUA MKONO na kukubali kuwa WATU WANABADILIKA!

Hapo vipi?😂
 
Please find the attached links to the short, republished articles below.
Hope they get us started as I look forward to beginning publishing new ones soon!
 
With Nothing Specific,
-Auxanus Chambulila.
@DeChambu


Comments

Popular Posts

001.MWANZO

015: UGUMU WA URAHISI

017: KIPINDI CHA MASHAKA

016: SALA YA KUOMBA KIFO CHEMA.

014: KUHUSU MAKOMWE

013.CHASING WEMBLEY

012.KIPAJI SI UMAARUFU WALA PESA

005.KUNJUA MKONO