006.NJIA ZA KUTUMIA WATU
1. UWALIPE [Hela/Maarifa/Wakutumie pia]
2. UISHI NAO VIZURI [Kirafiki/Kindugu nk]
3. UWE MFANO KWAO [Watamani kuwa kama wewe]
4. _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _
Lakini tupo baadhi tunaotaka “kuwatumia” wengine bila kufanya lolote kati ya hayo matatu. Hata hilo la 2 lililorahishwa sana na Bwana Simu, tunashindwa.
Unanamba yake ila kusalimiana ni hadi yeye aanze na hapo ulijibu text yake ya Merry Christmas kipindi cha Pasaka๐
Anabirthday,hujamuwish๐ค
Amefiwa, hamna pole๐ค
Amevaa joho,umeuchuna๐ค
Amepost kichekesho, hata emoji za kucheka hujatuma ila kimekuchekesha mpaka tumbo limekuuma๐ค
Makwazo hayana budi kuja lakini ole wake mtu yule ayasababishaye!
Wapo watu hawana roho za kwa nini na wanakuchangia au kushare vitu vyako kama ulivyoomba halafu unarejea kwenye mchezo ule ule.
Kesho ukirudi tena unadhani watakubali?
![]() |
| Njia namba 4. |
Unataka kuwatumia watu na zile njia 3 huzitaki?
Kuwa makini sana maana bila kujijua unaelekea kufuata ile njia iliyobaki.
4.Kutumia nguvu za giza.Uwageuze vikaragosi, wapige kazi!
๐๐


๐ ๐
ReplyDelete